Tuesday, April 5, 2022

AKILI ILIYOFANYWA UPYA. (1)

http://bit.ly/3JGDJ4d

MWL. JAMES F. MZAVER

Minister Truth

0762759621

jamesmzava@gmail.com




            AKILI ILIYOFANYWA UPYA. (1)



Ukuaji hauwezekani bila chakula kizuri na bora. Kubadilika kwa muumini kunawezekana tu wakati watu wanalishwa neno kila mara.


Biblia inasema katika Warumi 12:2; Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu.


Mabadiliko ni matokeo ya mchakato unaoendelea wa kufanya upya akili ya mtu au nia yake. Hakuna mtu anayeza kusema amefanywa upya nia yake ikiwa anaendelea kuishi kama kawaida ya Maisha yake ya awali. Huwezi kusema nia yako au akili yako imefanywa upya kwa miaka kumi iliyopita. Hiyo sio sawa kufanywa upya kwa nia na akili ni mchakato wa kila siku na wala sio wa siku moja tu.


Hakuna mtu anayeza kusema amefanywa upya nia yake ikiwa anaendelea kuishi kama kawaida ya Maisha yake ya awali.


Kufanywa upya kwa nia zetu ni kwa Neno la Mungu. Kila mtu ambaye ameona mabadiliko ya maisha yake atakuwa na ushuhuda huu kwamba wana ushirika wa kudumu na endelevu na Neno.





Bidii ni sifa muhimu sana katika mchakato huu unaoleta mabadiliko. Kama vile divai ya jana haiwezi kuleta matokeo ya kulewa kwa aliyeinywa jana, vivyo hivyo unahitaji neno kila wakati katika Maisha yako.


2 Wakorintho 3:18 (Tafsiri kutoka AMP) inasema, sisi sote, kana kwamba kwa uso usiotiwa utaji, [kwa sababu] tuliendelea kuutazama [katika Neno la Mungu] kama vile katika kioo utukufu wa Bwana, tunageuzwa kila mara katika utukufu wake. taswira yake katika utukufu unaoongezeka daima na kutoka kiwango kimoja cha utukufu hadi kingine; [kwa maana hili] hutoka kwa Bwana [Aliye] Roho.


Mtoto wa Mungu, usikubali na usiridhike kufanywa upya kwa nia yako mara moja. Endelea kuliruhusu neno la Mungu kwenye Maisha yako kila siku.




 Tambua tu kuwa kwa kadiri unavyodumu kwenye neno lake kila siku ndivyo kadiri nia yako inazidi kuwa mpya siku zote; na kwa hayo utaweza kujua mapenzi ya Mungu kwako yaliyo mema, makamilifu na kumpendeza yeye siku zote

Haleluya!!


Itaendelea…




1 comment:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ndiyo tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159

    ReplyDelete

AKILI ILIYOFANYWA UPYA. (1)

http://bit.ly/3JGDJ4d MWL. JAMES F. MZAVER Minister Truth 0762759621 jamesmzava@gmail.com              AKILI ILIYOFANYWA UPYA. (1) Ukuaji ha...